‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎ ‎Kwa Nini Watu Maskini Hawapendi Kusoma Vitabu

 ‎



‎Kaka/Dada,


Huu Ni Ukweli Unaoumiza Lakini Utakusaidia.

‎Maskini wengi hawapendi kusoma vitabu.

‎Umeshawahi kujiuliza kwa nini?

‎Yaani mtu anaishi maisha magumu…

‎Lakini ukimpatia kitabu cha bure chenye maarifa ya kutoka hapo alipo anakudharau.

‎Akiwa online, anaweza kucheka video 20 za utani…

‎Lakini video moja tu ya mafanikio, ya dakika mbili ataisema:

‎“Hayo mambo ya matajiri.”

‎Hapo ndipo utagundua:

‎Umaskini hauanzi mfukoni… unaanzia kichwani.

‎Tatizo Halipo Tu Kwenye Pesa

‎Watu wengi waliokata tamaa si kwamba hawana pesa...

‎Ni kwamba hawana maarifa.

‎Wanajua mpira, wanajua drama za mastaa, wanajua nani kapigana na nani...

‎Lakini hawajui jinsi ya kuongea vizuri ili wapewe kazi.

‎Hawajui njia rahisi ya kuweka akiba kidogo kila wiki.

‎Hawajui hata kusoma CV yao vizuri.

‎Sababu?

‎Hawajawahi kupewa nafasi ya kuamini kuwa vitabu vinaweza kuwasaidia.

‎Kuna Uongo Umekaa Kama Ukweli

‎ “Mimi si mtu wa vitabu.”

‎ “Mimi shule ilinichosha.”

‎“Sina muda wa kusoma.”

‎Huo ni uongo ulioota mizizi.

‎Leo hii mtu ana muda wa kuchat usiku kucha, kuangalia movies na memes…

‎Lakini hana dakika 10 tu za kusoma eBook ya ukurasa 10.

‎Na ajabu ni hii:

‎Maarifa ni yale yale yanayotumiwa na matajiri kuendelea kutajirika.

‎Ukijifunza Peke Yako, Unakuwa Na Nguvu.

‎Hujaenda chuo?

‎Huna cheti?

‎Hakuna shida.

‎Soma.

‎Jifunze marketing.

‎Jifunze psychology.

‎Jifunze kuandika vizuri.

‎Vitabu, podcasts, na mafunzo ya eBook ni njia rahisi ya kuanzisha safari ya mabadiliko.

‎Usikae ukisubiri serikali au wafadhili.

‎Maisha yako ni jukumu lako.

‎Hadithi Yangu Halisi – Ramadhani Amiri

‎Mimi nilikuwa sina chochote.

‎Familia ya kawaida. Hakuna connection. Hakuna hela.

‎Nilianza kusoma vitabu nikiwa na simu ya tochi.

‎Nilikaa cyber, nikasoma eBooks za mafanikio.

‎Nikagundua ndoto zangu hazitegemei hali yangu ya sasa.

‎Zinategemea maarifa ninayoyaweka kichwani.

‎Nikaanzisha kampeni ya Nguvu ya Vitabu.

‎Leo hii, watu wamenitumia ujumbe:

‎ “Buku moja imenifanya niamini tena ndoto yangu.”

‎Na hapo ndipo nikaanzisha Akili Kwanza Consultants kampuni inayofundisha watu kufikiri kisomi bila kungoja cheti.

‎Unataka Kubadilika? Fanya Hivi Leo:

‎1. Chagua eBook moja tu rahisi.

2. Soma kurasa tano kila siku.

‎3. Maliza kitabu kimoja kila mwezi.

‎4. Fanya hivyo kwa miezi 12 maisha yako yatabadilika.

‎Vitabu vitakufunulia:

‎Njia za kuongeza kipato

‎Mbinu za kuacha matumizi ya ovyo

‎Mikakati ya kuanza bila mtaji

‎Siri za kuongea na watu wenye nafasi

‎Anza Sasa Kabla Mwaka Haujaisha.

‎Weka oda ya eBook ya Nguvu ya Buku hapa, 👇 

‎0750376891 

‎Au niandikie  Nguvu Ya Vitabu,

‎Kwenda 0785376891

‎Nitakutumia vitabu vya kuanzia.

‎Usikubali kubaki nyuma kwa sababu ya uvivu wa kusoma.

‎Mkufunzi Ramadhan

0785376891.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?