*Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.
🔥 Nguvu Ya Kitabu: Dakika 5 Tu Kila Siku, Badilisha Maisha Yako Milele 🔥
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Rafiki Yangu,
Nilijaribu kusoma vitabu vingi, lakini nilikosa muda, motisha, na uelewa.
Nilisoma nusu hapa, nusu pale, nikihisi maisha yangu hayabadiliki.
Kisha nilipokutana na NGUVU YA KITABU, kitabu kinachokuwezesha kubadilisha mtazamo wako kwa dakika 5 tu kila siku.
Kila hatua ilibadilisha maisha yangu hatua kwa hatua.
Leo, unapata kitabu chako kwa Tshs 19,999 TU.
Hii ofa ni maalumu kwa sababu bibi yangu anaumwa, na baada ya kupona, ofa inaisha.
Piga simu au tuma ujumbe "NGUVU YA KITABU" kwenda 0755376891.
Karibu kuanza mabadiliko makubwa kwa dakika 5 tu kila siku!
Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,
Ramadhani Amir,
Mwandishi|Mkufunzi|Kocha
hata kama hukuwahi kumaliza kitabu.
NGUVU YA KITABU – Badilisha maisha yako kwa dakika 5 tu kila siku
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Machapisho maarufu kutoka blogu hii
Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA...
Ukipitia hii, kumbukumbu zako zitakuwa kama za kasuku aliyefundishwa kuimba chorus ya Diamond... Kakaa/Dadaa Yangu... Unasoma kitabu leo… Kesho haukumbuki hata ukurasa wa kwanza. Ukiulizwa ulichojifunza, unazubaa kama umepigwa na butwaa. Unajikuta unasoma tu ilimradi umalize, si kwa sababu unaelewa au utakumbuka. Yani unatumia muda wako kusoma… Unaweka akiba ya maneno kichwani… Halafu akili inafuta kila kitu kama flash drive yenye virus! Unasoma vitabu vingi, ila akili haina ushahidi wowote. Inapoteza kumbukumbu kama ex wako aliyesahau yote mliyowahi kupitia. Lakini mbona kuna wengine wakisoma, wanakumbuka hadi mistari ya mwisho? Hii ndo pointi ya kukasirikia! Sio kwamba Huna Akili. Sio kwamba huna uwezo. Ni mbinu tu unazotumia ndizo za kizamani. Zile za kukariri bila kuelewa, au kusoma harakaharaka kama unakimbizana na deadline ya NECTA. Zisahau. Hapa nakuletea...
Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...
Mpendwa Rafiki, Tatizo ni moja tu: Unataka kufanikiwa. Unataka kujenga biashara. Unataka kuvutia wateja bila kuwa kero. Unataka maisha bora, lakini hujui uanzie wapi. Unasikia watu wanatoka mbali kimaisha kwa kutumia maarifa, lakini wewe kila ukijaribu hakuna kinachotiki. Na najua kabisa… si kwamba huna akili. Si kwamba huna bidii. La hasha! Tatizo ni moja: haujapewa ramani. Haujapewa mfumo. Haujajifunza maarifa sahihi. Kuna jambo linakuumiza kimya kimya… Watu unaowaona wanaendelea wengi wao sio wa ajabu sana. Wana siri moja tu: maarifa ya ndani. Maarifa ya vitabuni. Maarifa ambayo hayafundishwi mashuleni. Wanaelewa “mbinu za kuuza”, wanaijua “copywriting”, wanaelewa “psychology ya mteja”, ...na wanajua jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji mkubwa. Wewe pia unaweza kujifunza. Wewe pia unaweza kugeuza akili yako kuwa hela. Lakini lazima ukubali ukweli mmoja: mafanikio hayaji kwa kubahatisha. ...
Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection
Kaka/Dada.... Unawaza kuanzisha ndoto yako, labda ni biashara, brand, au huduma fulani, Lakini kila mara unaambulia jibu moja tu: *Huna mtaji!* Au mbaya zaidi, *Wewe nani atakusaidia bila connection?* Aisee, hii ni changamoto kubwa sana kwa vijana wengi mtaani, hususani wale waliokuwa na ndoto kubwa lakini mifuko yao haina hata mia. Na nilikuwa mmoja wao. Ni kama maisha yanakuchokoza. Una wazo zuri kichwani, lakini kila ukiamka asubuhi, unashtukia huna hela ya kula, deni linagonga, halafu mtu anakwambia, *Ndoto haziliwi.* Unajikuta unaanza kuamini labda kweli ndoto ni kwa matajiri tu. Unaacha kujaribu, unaweka ndoto zako ndani ya kabati, unarudi kutafuta ajira zisizo na roho, mradi tu uishi. Lakini moyoni… unajua kabisa una kitu cha kipekee. Kinachokuuma si kwamba huwezi ni kwamba hujui wapi pa kuanzia bila pesa wala watu wa kukuvuta juu. Hapa ndipo wengi wanakosea. Wanadhani kuwa mtaji wa pesa nd...

Maoni
Chapisha Maoni