Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

 


‎Mpendwa Rafiki,

‎Tatizo ni moja tu: Unataka kufanikiwa.

‎ Unataka kujenga biashara. 

‎Unataka kuvutia wateja bila kuwa kero.

‎ Unataka maisha bora, lakini hujui uanzie wapi.

‎Unasikia watu wanatoka mbali kimaisha kwa kutumia maarifa, lakini wewe kila ukijaribu hakuna kinachotiki.

‎Na najua kabisa… si kwamba huna akili.

‎ Si kwamba huna bidii. La hasha!

‎Tatizo ni moja: haujapewa ramani.

‎ Haujapewa mfumo. 

‎Haujajifunza maarifa sahihi.

‎Kuna jambo linakuumiza kimya kimya…

‎Watu unaowaona wanaendelea wengi wao sio wa ajabu sana.

‎Wana siri moja tu: maarifa ya ndani.

‎Maarifa ya vitabuni. 

‎Maarifa ambayo hayafundishwi mashuleni.

‎Wanaelewa “mbinu za kuuza”, wanaijua “copywriting”, wanaelewa “psychology ya mteja”,

‎...na wanajua jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji mkubwa.

‎Wewe pia unaweza kujifunza.

‎Wewe pia unaweza kugeuza akili yako kuwa hela.

‎Lakini lazima ukubali ukweli mmoja:

‎ mafanikio hayaji kwa kubahatisha.

‎ Yanahitaji kujifunza.

‎Sasa hebu nikufundishe kitu kimoja…

‎Kuna vitu vitatu ambavyo ukiweza, maisha yanabadilika:

‎1. Kujifunza kupitia vitabu bora vya maarifa na ujasiriamali.

‎2. Kuandika maneno yanayouza (copywriting).

‎3. Kujenga mfumo wa kuvutia wateja bila kuwa kero.

‎Hizi ndio nguzo tatu za mafanikio ya mtaani.

‎Zinajengwa kwa kusoma vitabu sahihi, kufuatilia blog za maarifa kama Nguvu ya Vitabu, na kutenda kile unachojifunza.

‎Na ukishazielewa hakuna atakayekuzuia tena.

‎Sasa Sikiliza Solusheni Yako Iko Hapa:

‎Mimi ni Mkufunzi Ramadhan Jamaa wa Vitabu

‎Nimeanzisha hii blog ya Nguvu ya Vitabu kwa sababu moja tu:

‎Kukupa maarifa halisi ya mtaani.

‎Maarifa ya kukuinua, kukuandaa, na kukusaidia kuvutia wateja, kuuza vizuri, kuanza biashara, na kuandika maneno yanayouza bila presha.

‎Kama wewe ni kijana wa mtaani mwenye ndoto kubwa, au unataka kujua:

‎Jinsi ya kutumia vitabu kubadilisha maisha yako.

‎Jinsi ya kujifunza copywriting.

‎Jinsi ya kupata wateja bila kuwa kero.

‎Jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji mkubwa.

‎Hii ni blog yako. 

‎Hapa ni nyumbani kwako.

‎Sikiliza Hadithi Yangu Kidogo…

‎Miaka michache iliyopita, nilikuwa kama wewe.

‎Nimesoma sana, nimehangaika, lakini maisha hayakuwa yakibadilika.

‎Mpaka siku moja nikachukua kitabu cha kwanza cha “copywriting.”

‎Nikaelewa nguvu ya maneno. 

‎Nikaelewa jinsi wateja wanavyofikiri.

‎Nikaelewa mbinu za kujiuza bila kuombaomba.

‎Tangu hapo maisha yangu yakabadilika.

‎Leo hii, najifunza kila siku na ninashirikisha haya maarifa kupitia hii blog, semina, na kozi.

‎Na sasa nataka na wewe uanze safari yako.

‎Kama Upo Tayari Kuinuka…

‎Karibu sana kwenye Nguvu ya Vitabu

‎Hapa ndipo tunapojifunza kutumia vitabu, maarifa, na kalamu kufanikisha maisha ya kweli.

‎ Kama unataka kuandika maneno yanayouza...

‎Kama unataka kuvutia wateja...

‎Kama unataka kujifunza kupitia vitabu vya mabadiliko…

‎Karibu sana. 

‎Karibu Nguvu ya Vitabu.

‎Mkufunzi Ramadhan 

‎0750376891.

Jisajili Hapa Upate Vitabu 10

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA... ‎

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection