Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎NDOANO YA KISASA: Sayansi na Sanaa ya Kuvutia Mafuriko ya Wateja 🔥




‎Rafiki Yangu...


‎Hapo Zamani,


‎Nilikuwa nauza kwa shida, nikiomba, nikibembeleza, na mara nyingi kuonekana msumbufu.


‎Wateja walinikimbia.


‎Ndipo nilipokutana na NDOANO YA KISASA, kitabu kinachofundisha jinsi ya kuvutia wateja bila kuomba, kulazimisha, au kubembeleza.


‎Hatua kwa hatua nilijifunza kuvuta wateja kwa heshima, na leo mauzo yangu yamepanda zaidi ya nilivyowahi kufikiria.


‎Pata nakala yako sasa kwa Tshs 19,999 TU! Ofa hii ni ya muda mfupi.


‎Nakupa ofa hii kwasababu leo macho yananiuma.


‎ Tuma ujumbe “NDOANO” kwenda 0755376891.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA... ‎

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection