‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Utata Wa ELON MUSK: Ana Mamilioni, Lakini Alianza na Kusoma Vitabu Tu?!

Kakaa/Dadaa Yangu... 

‎Watu wanataka pesa. Mafanikio. Kujulikana.

‎Lakini hawataki kusoma hata ukurasa mmoja.

‎Hawajui siri iko kwenye kurasa.

‎Wanauliza:

‎*Mbona mimi nastruggle, na sijafika popote?*

‎“Mbona Elon Musk kafika mbali hivyo?”

‎Sawa. Ngoja nikupee KISA!

‎Elon Musk sio tu tajiri.

‎Ni mjanja.

‎Ni balaa.

‎Ni jamaa ambaye alisoma hadi vitabu vilianza kumjua kwa jina!

‎Halafu leo wewe unaniambia,

‎“Hivi kweli kusoma kuna msaada?”

‎Heh! Tulia…

‎Unajua nini kinaumiza zaidi?

‎Watu wengi wanajua jina lake.

‎Lakini hawajui historia yake.

‎Hawajui alitumia miaka ya utoto wake kusoma vitabu vya science, fiction, na biographies.

‎Yes, jamaa alikula vitabu kama vitafunwa vya Asubuhi.

‎Siku moja, aliweza kumaliza kusoma kitabu kimoja kwa Siku.

‎Unaweza wewe?

‎Ama macho yako ni TikTok tu? 😅

‎Wacha nikupe ukweli mchungu:

‎Ukipuuza kusoma, usitegemee miujiza.

‎Huwezi kuwa billionaire kwa kutegemea motivation quotes.

‎Unahitaji knowledge ya ukweli.

‎Na Musk alijua hilo.

‎Akasoma vitabu vya:

‎Benjamin Franklin: An American Life

‎Structures: Or Why Things Don’t Fall Down

‎The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy

‎Zero to One by Peter Thiel

‎Einstein: His Life and Universe

‎Na vingine vingi.

‎Hii si orodha ya show-off.

‎Hii ni blueprint ya mafanikio yake.

‎Sasa, Suluhisho ni nini?

‎Usianze kujichukia.

‎Anza kujisomea.

‎Anza na vitabu vyepesi.

‎Anza na kila unachopata.

‎Kama huwezi kusoma saa 1 kwa siku,

‎soma dakika 10.

‎Mara kwa mara.

‎Itakuchoma sasa,

‎lakini itakulipa baadaye.

‎Nikutupie hadithi moja kali.

‎Elon akiwa mdogo, alikuwa “nerd”.

‎Watoto wanamchukulia poa.

‎Anaonekana mwehu flani wa vitabu.

‎Lakini guess what?

‎Wakati wenzake wanaangaika kutafuta kazi,

‎yeye anaanzisha kampuni ya kutuma roketi angani.

‎Kitu kama SpaceX.

‎Unakumbuka ilivyoonekana kama wazo la kichaa?

‎Leo hii NASA inamfuata.

‎Trust me.

‎Unaweza kubadilisha future yako.

‎Lakini sio kwa bahati.

‎Ni kwa maarifa.

‎Soma.

‎Hata kama ni page 1 leo.

‎Siku moja, watu watashangaa:

‎“Huyu aliwezaje kufika hivi?”

‎Na utacheka kimoyo moyo:

‎“Nilianza na kusoma kitabu.”

‎Unataka mafanikio ya kweli?

‎Usiogope vitabu.

‎Vitabu ni siri ya Watawala.

‎Hii ndio Siri ya Elon Musk.

‎Na sasa ni yako pia.

‎Muhimu; Kama Bado Hujajiunga Na Wasomaji Wenzako Makini,

‎Basi Piga Au Tuma Ujumbe Kwenda 0750376891.

‎Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?