‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

‎🧠😱 *Ukweli Mchafu: Huna Pesa Kwa Sababu Husomi!*😳📚


‎Rafiki Yangu,

‎💔 Unajua kwanini hela inakupiga chenga kila mwezi?

‎Si kwa sababu hufanyi kazi.

‎Wala si kwa sababu huna bahati.

‎👉🏾 Ni kwa sababu ubongo wako bado upo njaa ya maarifa.

‎Na chanzo kikuu cha maarifa ni kimoja tu: VITABU.

‎📌 Sikiliza kaka/dada…

‎Watu matajiri huwa hawasomi tu kwa starehe.

‎Wanatafuta kitu kinachowapa nguvu mpya ya kutengeneza pesa.

‎Na mara nyingi, wanakipata kwenye kurasa za vitabu.

‎⚠️ Sasa hapa ndipo wengi wanaharibikiwa...

‎Unapofikiria kitabu ni *kitu cha shule* tu.

‎Au unasema:

‎*Mimi siwezi kusoma, sina muda.*

‎*Mbona kuna watu matajiri hawajasoma?*

‎😤 Stop hiyo mindset ya hasara!

‎🧠 Soma vitabu sahihi vitabu vya maarifa, fedha, biashara, tabia za mafanikio.

‎Halafu utashangaa unapata idea moja tu…

‎Na idea hiyo inakulipia kodi ya mwaka mzima.

‎Wengine hadi milioni yao ya kwanza walitoka kwenye mstari mmoja wa kitabu!

‎🔥 Sasa Suluhisho Ndio Hili Hapa:

‎Tumeandaa kitabu kinachobadilisha ubongo kuwa mashine ya pesa.

‎Kinaitwa: “NGUVU YA VITABU.”

‎Si cha kusoma tu, ni kama ramani ya kuelekea utajiri.

‎Kinasema: soma hivi, fanya hivi, kisha vuna hivi!

‎🎯 Usisikie tu kutoka kwangu, skiza hii story fupi:

‎Jamaa mmoja, fundi simu wa kawaida tu.

‎Alinunua NGUVU YA VITABU.

‎Akaisoma kila usiku kabla ya kulala.

‎Wiki ya pili akaanza kubadilika.

‎Akaanzisha biashara ya kuuza accessories.

‎Leo hii anasupply maduka manne.

‎Alinambia mwenyewe: “Hiki kitabu kimenifungua macho kuliko shule yote.”

‎🫵🏾 Wewe sasa, unangoja nini?

‎Hii si hadithi ya kutisha, ni ukweli mtupu.

‎Kama hujajua namna ya kutengeneza pesa,

‎soma.

‎Na usisome chochote tu, soma NGUVU YA VITABU.

‎📲 Andika neno “VITABU” sasa hivi uanze safari ya kubadilisha maisha yako.

‎Kwenda 0750376891.

‎📚 NGUVU YA VITABU –Kusoma Sio Ushamba, Ni Njia Ya Kuwa Tajiri! 💰🔥

‎Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir,

‎Aka- Kakaa Wa Vitabu

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?