‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Kwa Nini Matajiri Wote Husoma Vitabu – Siri Kubwa Unayopaswa Kujua Leo

 ‎Na Wewe Bado Unapiga Chenga Kusoma?


Rafiki Yangu Mpendwa,


Bado Namkumbuka....

‎Aliwahi kuwa maskini. Alilala njaa. Alitembea kwa miguu kwenda shule. Alivaa viatu vilivyopasuka.

‎Leo? Ana kampuni tano. Ana magari manne. Anajenga shule kijijini kwao.

‎Unajua alibadilishaje maisha yake?

‎Alianza kusoma vitabu.

‎Leo nitakuonyesha siri moja kubwa sana ambayo matajiri hawapendi watu wa kawaida waijue.

‎Siri hii ni: Vitabu!

‎Ndiyo. Nitakuambia kwanini matajiri wote hukimbilia vitabu, na kwanini wewe pia unapaswa kuanza kusoma leo hii sio kesho.

‎Fikiria ukiamka asubuhi na hujishughulishi tena na madeni.

‎Fikiria unafanya kazi unayoipenda… sio ile ya kukudhalilisha.

‎Fikiria unaweza kusafiri popote, lini unavyotaka.

‎Fikiria unasaidia familia yako… unalipa karo… unajenga nyumba.

‎Vitabu ni daraja la kutoka hapa ulipo hadi kule unakotamani kufika.

‎📚 Elon Musk alisema, “Nilijifunza kutengeneza roketi kwa kusoma vitabu.”

‎📚 Bill Gates husoma kitabu kimoja kila wiki.

‎📚 Oprah Winfrey alikiri wazi: “Elimu yangu halisi ni kutoka kwenye vitabu.”

‎Wote hawa ni mabilionea. Hawakusubiri darasa. Walianza kusoma.

‎Watu wa kawaida hukimbilia starehe.

‎Matajiri hukimbilia maarifa.

‎Matajiri wanajua kitu hiki:

‎Maarifa unayoyapata kwenye kitabu kimoja, yanaweza kukuokoa na miaka 5 ya kupoteza muda na pesa.

‎Kitabu ni njia fupi ya kuingia kwenye akili ya mtu aliyeshapitia changamoto zote, akashinda… na sasa anataka kukupa ramani ya mafanikio.

‎Swali ni: Utapokea hiyo ramani au utaendelea kubahatisha?

‎Ukiendelea kupuuza vitabu, utasalia pale pale.

‎Utazidi kulalamika. Utazidi kusubiri miujiza.

‎Lakini ukianza kusoma, polepole utaanza kubadilika.

‎Utafikiri kwa kina. Utaona fursa. Utaanza kujiamini.

‎Na hatimaye utaanza kushinda.

‎Usisubiri hadi mambo yawe mabaya zaidi.

‎Anza na kitabu kimoja. Leo. Siyo kesho.

‎Maskini hukataa vitabu. Matajiri huvikumbatia.

‎Na hapo ndipo tofauti kubwa huanzia.

‎Usiache historia iandikwe bila wewe kuamua mstari wako wa ushindi.

‎Chukua kitabu. Fungua ukurasa wa kwanza.

‎Anza kujijenga. Anza sasa.

‎👉 Maisha yako mapya yanaweza kuanza na kitabu kimoja tu.

‎Ungependa nikupendekezee vitabu 3 vya kuanzia? 😊

‎Basi tuma ujumbe *NATAKA VITABU*

‎Kwenda 0750376891.

‎Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?