Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Hii Ndiyo Tofauti Ya COPYWRITING Na Content WRITING Wanaokuficha! 💥


‎Unajua nini?

‎Watu wengi wanajifanya waandishi,

‎Lakini wanachanganya Copywriting na Content Writing kama maji na mafuta!

‎Ni kama kuchanganya kuchoma chipsi na kufua nguo…

‎Vyote ni kazi, lakini si sawa hata kidogo!

‎Leo nakufungua macho.

‎Utaelewa tofauti kubwa sana kati ya Copywriting na Content Writing.

‎Ukimaliza kusoma hii makala, utajua ni ipi inalipa, ipi ni sanaa ya kuuza,

‎na ipi inaweza kukutoa kapa kama huitumii vizuri.

‎Fikiria upo na laptop yako,

‎Unaandika sentensi chache tu…

‎Baada ya dakika chache, mtu anakutumia pesa.

‎Copy zako zinauza bidhaa.

‎Waandishi wakubwa wa Copywriting wanalipwa hadi MILIONI kwa barua moja tu!

‎Wanaandika post moja, inauza bidhaa elfu moja.

‎Sasa waza tena…

‎Unatumia muda mwingi kuandika content,

‎Una likes, una comments, lakini hakuna mtu anayebonyeza "nunua sasa".

‎Ni kama kupiga kelele kwenye jangwa.

‎Hebu muangalie Joseph Sugarman, mmoja wa magwiji wa Copywriting.

‎Alikuwa akiandika matangazo ya kurasa 2,

‎na watu walikuwa wananunua bidhaa hata kabla hawajaiona.

‎Na hapa Bongo, kuna vijana wanaandika copies za WhatsApp tu,

‎wanafanya mauzo ya zaidi ya milioni 5 kwa mwezi.

‎Wanatumia maneno yenye "uchawi wa kuuza" hiyo ndiyo nguvu ya copywriting.

‎COPYWRITING NI NINI?

‎Ni kuandika kwa lengo la KUUZA.

‎Unapotaka mtu achukue hatua anunue, ajisajili, abonyeze, apige simu — hiyo ni Copywriting.

‎CONTENT WRITING NI NINI?

‎Ni kuandika kwa lengo la KUELEWESHA au KUBURUDISHA.

‎Inajenga mahusiano, inatoa elimu, lakini mara nyingi haichochei mauzo ya haraka.

‎Tofauti kubwa ni hii:

‎Copywriting ni SHAMBULIO inachochea hatua.

‎Content Writing ni MAZUNGUMZO — inalea uhusiano.

‎Mfano:

‎"Habari kuhusu faida za aloe vera" Content Writing.

‎"Punguza makunyanzi kwa siku 7 kwa kutumia aloe vera hii mpya Nunua Sasa!" — Copywriting.

‎ Sasa Fanya Hivi Kabla Wengine Hawajakuacha Nyuma

‎Kama unataka kuuza sana,

‎Kama unataka maneno yako yawe na nguvu ya kuchochea watu kuchukua hatua,

‎Basi jifunze COPYWRITING sasa hivi.

‎Usikose hii fursa.

‎Usiendelee kuandika content ya bure wakati unaweza kupata mamilioni kwa maneno machache tu.

‎🔥 Muda wa kubahatisha umeisha.

‎🔥 Weka mkazo kwenye maneno yanayouza.

‎🔥 Toka kwenye kundi la "waandishi wa maudhui"

‎na ingia kwenye ligi ya "waandishi wa pesa".

‎Kama bado hujui Copywriting,

‎Basi uko nyuma sana.

‎Na ukikaa kimya leo,

‎Kesho utakuta wateja wako wote wamepotezwa na yule jamaa anayejua nguvu ya maneno.

‎Tafuta kozi. Tafuta mwalimu. Tafuta mwelekeo.

‎👉 Kumbuka: Maneno Yanaweza Kukuingizia Pesa au Kukunyima Pesa.

‎💡 Unahitaji mafunzo ya Copywriting? Niachie jina lako hapa chini. 

‎Naweza kukusaidia kabla wengine hawajaja kupita na kukuwacha mbali. 🏃‍♂️

‎Tuma JINA Lako Kwenda 0750376891.

‎Karibu.

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA... ‎

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection