Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Niliwahi Kukimbizana na Wateja Kama Mwizi... Mpaka Copywriting Ilipoingia Maishani.

 



Kakaa/Dadaa....

‎Miaka michache iliyopita...

‎Nilikuwa ni yule jamaa anayekimbizana na wateja hadi kwenye inbox zao.

‎Natumia muda, nguvu, na data halafu wananipa “Nipo bize bro, nitakujulisha.”

‎Maumivu yake si mchezo.

‎Nilikuwa na bidhaa nzuri sana, lakini wateja walikuwa wagumu kama kokoto.

‎Nilijikuta najiuliza:

‎*Kwani lazima kuuza mpaka unatetemeka?*

‎*Kwanini wao wasikukimbilie kama wanavyokimbilia ofa?*

‎Niliona watu wengine wanaingiza mkwanja bila hata kuwa na bidhaa bora kuliko yangu.

‎Nikaanza kuhisi labda mimi ndo tatizo.

‎Lakini kumbe... ni lugha niliyokuwa natumia.

‎Wengi tunafikiri kuwa kupata wateja ni kuwa na bei ya chini au kutoa ofa.

‎Lakini ukweli ni huu:

‎Watu hawanunui bidhaa... Wananunua hisia.

‎Na hisia zinakuja kwa kutumia lugha ya kuwagusa.

‎Hapo ndipo nilipogundua nguvu ya copywriting uandishi wa matangazo yanayobeba roho.

‎Nikajifunza copywriting.

‎Nikaanza kuandika post fupi fupi zenye punch.

‎Zinazochokoza hisia, zinazotoboa akili, na zinampeleka mtu hadi kwa kufanya maamuzi.

‎Nilianza kuona comments kama:

‎*Bro uko wapi?*

‎*Nitumie namba.*

‎*Nahitaji hii leo.*

‎Ndio maana nasema, copywriting ni kama ulevi wa maneno ukiutumia vizuri, unawavuta hata waliokuwa hawakutaki.

‎Kama umechoka kubembeleza wateja…

‎Kama una bidhaa lakini haina mvuto online…

‎Jifunze copywriting.

‎Au nitafute nikusaidie.

‎Maisha yako ya kibiashara yanaweza kubadilika kwa post moja tu.

‎Ushasikia msemo wa *Lugha ni biashara*?

‎Sasa utashuhudia.

‎Ukihitaji nikutengenezee copywriting kali ya bidhaa zako au kukuandikia maandiko ya kuvutia... DM tu.

‎Hakuna presha.

‎Bonyeza hapa 👇

‎*https://wa.link/iektar*

0785376891 Au 0750376891.

‎Mkufunzi Ramadhan

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA... ‎

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection