🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥
Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* Basi sikia hii... Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. Lakini... Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. Unaitwa: Hero’s Journey. Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. Kama Simba kwenye Lion King. Kama Neo kwenye Matrix. Kama wewe kwenye maisha yako. Sasa tatizo ni hili... Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. Wanakosa story. Na bila story,hakuna connection. Unasema bidhaa yako ni bora? So what? Wateja wanataka kujihisi w...
Maoni
Chapisha Maoni