‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Niliwahi Kukimbizana na Wateja Kama Mwizi... Mpaka Copywriting Ilipoingia Maishani.

 



Kakaa/Dadaa....

‎Miaka michache iliyopita...

‎Nilikuwa ni yule jamaa anayekimbizana na wateja hadi kwenye inbox zao.

‎Natumia muda, nguvu, na data halafu wananipa “Nipo bize bro, nitakujulisha.”

‎Maumivu yake si mchezo.

‎Nilikuwa na bidhaa nzuri sana, lakini wateja walikuwa wagumu kama kokoto.

‎Nilijikuta najiuliza:

‎*Kwani lazima kuuza mpaka unatetemeka?*

‎*Kwanini wao wasikukimbilie kama wanavyokimbilia ofa?*

‎Niliona watu wengine wanaingiza mkwanja bila hata kuwa na bidhaa bora kuliko yangu.

‎Nikaanza kuhisi labda mimi ndo tatizo.

‎Lakini kumbe... ni lugha niliyokuwa natumia.

‎Wengi tunafikiri kuwa kupata wateja ni kuwa na bei ya chini au kutoa ofa.

‎Lakini ukweli ni huu:

‎Watu hawanunui bidhaa... Wananunua hisia.

‎Na hisia zinakuja kwa kutumia lugha ya kuwagusa.

‎Hapo ndipo nilipogundua nguvu ya copywriting uandishi wa matangazo yanayobeba roho.

‎Nikajifunza copywriting.

‎Nikaanza kuandika post fupi fupi zenye punch.

‎Zinazochokoza hisia, zinazotoboa akili, na zinampeleka mtu hadi kwa kufanya maamuzi.

‎Nilianza kuona comments kama:

‎*Bro uko wapi?*

‎*Nitumie namba.*

‎*Nahitaji hii leo.*

‎Ndio maana nasema, copywriting ni kama ulevi wa maneno ukiutumia vizuri, unawavuta hata waliokuwa hawakutaki.

‎Kama umechoka kubembeleza wateja…

‎Kama una bidhaa lakini haina mvuto online…

‎Jifunze copywriting.

‎Au nitafute nikusaidie.

‎Maisha yako ya kibiashara yanaweza kubadilika kwa post moja tu.

‎Ushasikia msemo wa *Lugha ni biashara*?

‎Sasa utashuhudia.

‎Ukihitaji nikutengenezee copywriting kali ya bidhaa zako au kukuandikia maandiko ya kuvutia... DM tu.

‎Hakuna presha.

‎Bonyeza hapa 👇

‎*https://wa.link/iektar*

0785376891 Au 0750376891.

‎Mkufunzi Ramadhan

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?