‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Copywriting Ni Silaha Ya Siri Ya Wafanyabiashara Matajiri Wewe Unaijua?


Rafiki Yangu,

‎Umeshawahi kujiuliza kwanini bidhaa ya mtu mwingine inanunuliwa sana, ilhali yako haivutii hata mbu?

‎Wateja wanapita tu. Wanakudharau.

‎Lakini yule jamaa wa duka la pembeni, kila siku anaweka “sold out” kwenye bango.

‎Unadhani ni bahati?

‎Hapana ndugu yangu!

‎Anaijua sanaa moja ya kichawi… Copywriting!

‎Leo nitakuonyesha:

‎Copywriting ni nini, inavyofanya kazi kimyakimya kwenye akili za watu, na kwanini wewe kama mfanyabiashara, unahitaji kuimasta kabla biashara yako haijafa bila msiba.

‎3. PICTURE — (Fumba Macho, Tazama Maisha Yako Baada Ya Ujuzi Huu)

‎Hebu tafakari...

‎Unapost tu chapisho moja WhatsApp au Instagram…

‎Dakika tano tu, simu yako inaanza kulia.

‎Mpaka unachoka kupokea order.

‎Wateja wanakuomba kuwahudumia, siyo wewe kuwabembeleza!

‎Hii si hadithi ya kufikirika. Ni hali halisi ya wale waliobobea kwenye Copywriting.

‎Mwaka 2022, kuna kijana mmoja aliandika maneno 12 tu kwenye status ya WhatsApp…

‎Aliuza vitabu 267 ndani ya siku 1.

‎Hakuwa na website. Hakuwa na ofisi. Hakutumia hela ya matangazo.

‎Alitumia maneno yenye mvuto Copywriting.

‎Sasa sikia,

‎Copywriting ni nini?

‎Ni sanaa ya kuandika maneno yanayobeba mvuto, hisia, na msukumo wa mtu kuchukua hatua, iwe ni kununua, kujiunga, au kuulizia zaidi.

‎Ni kama uchawi wa maneno.

‎Mfano Rahisi:

‎Badala ya kusema:

‎*Nunua bidhaa hii*

‎Copywriter anasema:

‎*Usikubali tena kulala njaa, wakati suluhisho liko hapa mkononi.*

‎Unaona tofauti?

‎Ni maneno, lakini yamebeba hamasa ya mtu kutaka kuchukua hatua, hapo hapo.

‎Kwa Nini Hii Ni Muhimu Kwako?

‎✔️ Unapopost mitandaoni – Copywriting.

‎✔️ Unapoongea na mteja – Copywriting.

‎✔️ Unapotangaza bidhaa – Copywriting.

‎✔️ Unapojieleza ili upate fursa – Copywriting.

‎Hii ni silaha ya karne hii. Bila hiyo, unapoteza hela kila siku bila kujua.

‎Usisubiri hadi biashara yako ipotee ndipo uje kusema “Laiti ningeijua hii mapema.”

‎Watu wanapiga hela kwa maneno tu, tena ya kawaida kabisa.

‎Chukua hatua.

‎Jifunze Copywriting leo.

‎Tafuta kozi, kitabu au mentor anayekuelewa, Anza sasa hivi kabla wateja hawajakusahau kabisa!

‎Biashara Bila Copywriting Ni Kama Duka Bila Mlango ,Wateja Wanapita Tu Hawaingii.

‎Jiulize:

‎Je, utaendelea kujiuza kwa bei ya huruma, au utajifunza kuuza kwa heshima?

‎Uamuzi ni wako.

‎Lakini kumbuka: Wanaoandika vizuri, ndiyo wanaishi vizuri.

‎Ukitaka makala kama hii kwa bidhaa yako, niche au kozi yako, niambie.

‎Nikuandikie maneno yatakayokuletea hela kabla jua halijazama kesho.

‎Kama ni ndiyo, Tuma Meseji "NATAKA COPYWRITING" Kwenda 0750376891.

‎Karibu.

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?