Kijana Aliyekataa Kuishi Kawaida Safari Ya Kivuli Mpaka Kuangaza Dunia...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Hapo Mwanzoni mwa mwaka 2009.
Kulikuwa na kijana mmoja wa kawaida aliyeishi katika kijiji cha mbali,
Hakujulikana, na hakuwa na chochote cha kipekee, na kila mtu alimwona wa kawaida sana.
Lakini moyoni mwake, kulikuwepo na ndoto kubwa: kuwahi jukwaa la dunia na kuacha alama.
Siku moja, aliona tangazo dogo la kozi ya maarifa mtandaoni.
Alihisi mwito ule wa sauti ya ndani iliyomwambia, “Hii ni nafasi yako.”
Aliamua kujiunga, licha ya upinzani wa familia na marafiki waliomcheka:
Nakumuuliza mara kwa mara,
*Utasoma vitabu? Utalisha familia na karatasi?*
Safari yake ilianza usiku mwingi bila usingizi, video bila bundles, vitabu vya PDF alivyovichapa kwa hela ya chakula.
Alijifunza kuhusu fedha, biashara, saikolojia ya mafanikio…
Alipojaribu mara ya kwanza kuanzisha biashara ilifeli.
Mara ya pili – wateja walimkataa.
Mara ya tatu – watu wakaanza kumuuliza,
*Unawezaje kuelewa hivi vitu kwa undani hivi?*
Miaka miwili baadaye, kijiji kizima kilimwalika kuwa mgeni rasmi wa tamasha la maendeleo.
Jukwaani alisimama, si tena kijana wa kivuli, bali shujaa aliyeshinda hofu, ukosoaji na umasikini.
Na sasa, kupitia kitabu chake kipya, anafundisha wengine kuanza safari yao ya kishujaa.
Anyway, kama bado hujapata kitabu hiki wasiliana na 0750376891.
Karibu.
Rafiki Anayekupenda Na Kukujali Sana,
Mkufunzi Ramadhan Amir,
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Maoni
Chapisha Maoni