‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

Copywriting; ‎Jinsi Nilivyowavuta Wateja Wa Kulipia Bila Kuomba Kazi Siri Inayobadilisha Game


‎Kuna wakati nilichoka.

‎Kuchoka kuomba kazi kila mahali.

‎Kila inbox nikiandika “Naweza kusaidia na hii…”

‎Kila jibu likiwa “Tutakujulisha.”

‎Na mengine hata hayajibu.

‎Nikasema basi!

‎Na hapo safari yangu ikaanza.

‎Siku moja nikaandika post moja.

‎Ya ukweli.

‎Iliyojaa maumivu.

‎Ilikuwa story yangu.

‎Sio kusales.

‎Sio kujiuza.

‎Ilikuwa ukweli – "Nimechoka Kuomba Kazi."

‎Watu wakacomment.

‎Wengine wakashare.

‎Wateja wakaanza kuni-DM.

‎Nikagundua kitu:

‎Watu hawavutiwi na cheti,

‎Wanavutwa na hisia zako.

‎Watu hawakumbuki huduma yako,

‎Wanabeba story yako.

‎Nikaanza kuchora hadithi.

‎Kila post – story.

‎Kila content – emotions.

‎Kila status – ladha.

‎Sio kuomba kazi,

‎Ni kuwaonesha maisha yako.

‎Nilikuwa na shaka.

‎"Nikiandika sana, wataniona nalilia kiki?"

‎Lakini guess what?

‎Wale waliodhani hivyo, hawakunilipa hata elfu moja.

‎Lakini yule mmoja…

‎Aliyenisoma kimya kimya kwa wiki tatu,

‎Akanitumia email moja:

‎“Hi, I’ve been following your posts. You’re exactly who we need. How much do you charge?”

‎Na hivyo ndivyo ilivyoanza.

‎Sikuandika proposal.

‎Sikupeleka CV.

‎Sikuomba kazi.

‎Niliandika ukweli wangu.

‎Nikaonyesha thamani kwa stori.

‎Wateja wakaanza kuja wenyewe.

‎Wengine wakasema,

‎“Nimekuwa niki-screen freelancers 5,

‎lakini kuna kitu cha kipekee kwako.”

‎Wakawa wateja.

‎Wa kulipia.

‎Wa kurudi tena na tena.

‎Leo nakwambia hivi:

‎Acha kubembeleza kazi.

‎Acha kudanganya CV.

‎Tengeneza hadithi zako.

‎Onyesha thamani bila kujigamba.

‎Weka ladha ya utu kwenye kila unachofanya.

‎Sio kila mtu atakuelewa.

‎Sio lazima uvutie kila mtu.

‎Unachotaka ni wale walio sahihi.

‎Unataka wateja wa kulipia?

‎Waache waje kwa moyo wao.

‎Wavute kwa hisia.

‎Wavute kwa thamani.

‎Wavute kwa hadithi.

‎Wateja sio wajinga.

‎Wanapenda ukweli.

‎Wapatie ladha ya ubinadamu.

‎Na utawavuta – bila kuomba kazi.

‎✅ Unataka nikusaidie kuandika hadithi zako za kuvutia wateja wa kulipia? Ni-DM. Usiogope, unaanza hapa!

‎Namba Ni 0750376891.

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir| Copywriter|

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?