Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Copywriting Ni Nini? Na Kwa Nini Inaweza Kukupa Mauzo Kabla Hata Hujapiga SIMU? ‎

 ‎


‎Kaka, Dada Yangu… Hebu niambie ukweli…

‎Umeshawahi kutuma ofa kwenye WhatsApp group, halafu hakuna aliyejibu?

‎Umeandika post ya biashara, ukaituma hadi kwa mamako, halafu kimya kimya tu?

‎Uliweka tangazo kwenye status halafu hakuna hata mtu mmoja wa kuulizia bei?

‎Inauma. Inakatisha tamaa. Inakatisha ndoto.

‎Lakini unajua tatizo si biashara yako?

‎Si bidhaa yako.

‎Si bei yako.

‎Na wala si bahati mbaya.

‎Tatizo ni MANENO unayotumia kuuza.

‎Yaani Wewe Unafanya Kazi Kama Ng’ombe…

‎Unaamka mapema, unalipia matangazo, unajituma…

‎Lakini pesa? Haziji.

‎Wengine wanaposti post moja tu,

‎Mpaka watu wanaanza kuomba namba ya kutuma hela.

‎Unashangaa: "Hivi huyu ana nguvu za giza au?"

‎La hasha!

‎Ana kitu kinaitwa COPYWRITING.

‎Copywriting ni nini sasa? Hebu nielewe vizuri.

‎Copywriting ni sanaa ya kutumia maneno ambayo yanamshawishi mtu achukue hatua.

‎Iwe ni kununua…

‎Kudownload…

‎Kusubscribe…

‎Au hata kupiga simu.

‎Ni maneno yanayogusa akili na moyo.

‎Maneno yanayochoma hisia.

‎Maneno yanayomlazimisha mtu aseme:

‎"Naomba niitumie hela sasa hivi!"

‎Na kama bado hujaelewa… Hebu niweke wazi.

‎Kuna watu wanafanya copywriting bila hata kujua.

‎Wanaandika status moja tu,

‎Halafu wanajaza oda hadi simu yao inagoma.

‎Wakati huo, wewe unashangaa:

‎“Hivi huyu alitumia maneno gani?”

‎“Hii post yake iko tu kawaida, lakini watu wanapagawa nayo.”

‎Basi acha nikuambie ukweli mchungu:

‎Maneno uliyotumia hayakumvuta mteja.

‎Hayakumshawishi.

‎Hayakumgusa.

‎Na ndio maana hakuchukua hatua.

‎Lakini Subiri Kidogo—Habari Njema Ni Hii Hapa:

‎Copywriting inafundishika.

‎Inajifunzwa.

‎Na mtu yeyote anaweza kuimaster.

‎Unajifunza jinsi ya kuandika:

‎– Kichwa cha habari kinachovuta macho.

‎– Sentensi ya kwanza inayoiba umakini.

‎– Mshiko wa hisia unaomfanya mteja aseme: "Naitaka hii sasa hivi!"

‎Unajifunza kuongea na mteja kupitia maandishi kama vile mko uso kwa uso.

‎Na kabla hujampigia, tayari ameshajua thamani ya bidhaa yako.

‎Amekwishaamua kuwa utanunua.

‎Ngoja Nikupe Kisa Halisi Kidogo…

‎Kuna dogo mmoja alikuwa anauza bidhaa moja ya kawaida sana

‎Sabuni za asili.

‎Aliwahi kuniambia: “Bro, mimi naandika kila siku, lakini watu wananipotezea.”

‎Nikamuuliza: “Unaandika nini?”

‎Akanitumia post zake

‎Zilikuwa zinaeleza tu faida za sabuni.

‎Bila hisia. Bila kishawishi. Bila mvuto.

‎Nikampa somo la haraka Copywriting.

‎Nikamsaidia kuandika post mpya.

‎Tulianza na kichwa cha habari kali, tukavuta hisia, tukagusa maumivu ya mteja, tukawasha kiu…

‎Guess what?

‎Baada ya siku tatu, alinipigia:

‎“Bro! Sijawahi kuuza hivi. Simu zinapigwa. Hata wale waliokuwa kimya wamerudi.”

‎Sasa Hivi Ndio Muda Wako.

‎Copywriting sio kwa ajili ya watu wachache tu.

‎Ni kwa mtu yeyote anayehangaika kuuza.

‎Ni kwa yeyote anayechoka kuomba mauzo.

‎Ni kwa mtu anayetaka kupiga pesa bila kulazimika kuwasihi watu.

‎Unaweza kuuza kabla hata hujapiga simu.

‎Unaweza kuuza kabla hujamaliza sentensi ya pili.

‎Na yote inaanza na kujifunza jinsi ya kuandika maneno yanayouza.

‎Unataka nifundishe?

‎Niandikie tu: "Nataka kujua copywriting"

‎Kwenda 0750376891.

‎Na safari ya kuuza bila stress itaanza.

‎Ukijifunza hii kitu…

‎Hata ukiwa kimya, watu watanunua.

‎Na hiyo ndo nguvu ya COPYWRITING.

‎Karibu.

‎Mkufunzi Ramadhani Amir

‎0750376891

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA... ‎

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection